MAJALIWA: TUMEDHAMIRIA KUWEKEZA KATIKA ELIMU YA MTOTO WA KIKE
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua ujenzi wa mradi wa shule maalumu ya sekondari ya wasichana Ruangwa na amesema kwamba Serikali imeadhamiria kuwekeza katika elimu ya mtoto wa kike kwa lengo la kumuwezesha kutimiza ndoto zake kielimu. Baada ya kukagua mradi huo, Waziri Mkuu amesema ameridhishwa na maendeleo yake na amewataka waliokabidhiwa jukumu la kusimamia ujenzi
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed